• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi

Utangulizi

          Hali ya Kimuundo Idara ya ujenzi katika halmashauri ya wilaya ya Monduli

Idara ya Ujenzi inaundwa na vitengo vikuu vitatu kama ifuatavyo:

  •     Kitengo cha Barabara
  •     Kitengo cha Majengo
  •     Kitengo cha Umeme, magari na Mitambo.


  MTANDAO WA BARABARA

Wilaya ya Monduli inao mtandao wa barabara wenye urefu wa km 688 zinazohudumiwa na fedha za Mfuko wa barabara na vyanzo vingine. Aidha jumla ya Mtandao wa barabara wenye km 688 za barabara Wilayani Monduli kati ya hizo km 8.1 ni za Lami, km 138 ni za Changarawe na km 541.9 ni za udongo. Kwa ujumla km 186.01 (27%) ziko katika hali nzuri, km 245 (36%) ziko katika hali ya wastani na km 256.9 (37%) ziko katika hali mbaya.


 UTEKELEZAJI WA MIRADI

 Utekelezaji wa miradi ya Barabara kwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara – (Road Fund)

Idara imeendelea kukamilisha kutekeleza kazi za miradi ya barabara iliyokuwa inaendelea ya mwaka 2015/2016. Aidha miradi ya mwaka 2016/2017 utekelezaji wake mikataba  imeshasainiwa na kazi zinaendelea. Angali Jedwali A & B la utekelezaji


Utekelezaji wa miradi ya Majengo.

Idara inaendelea na usimamizi wa miradi yote ya Ujenzi wa miundo mbinu ya utawala, afya na Elimu yanayoendelea kujengwa.


Utekelezaji wa Kitengo cha Magari/Mitambo na umeme

Idara inaendelea kusimamia magari/mitambo na umeme ili kuimarisha kitengo kwa kubuni na kusimamia mitambo hii kidogo tuliyonayo. Aidha changamoto iliyopo ni Wataalamu wa Kitengo hicho kwasasa hawapo hasa upande wa Magari na Mitambo ila kwa upande wa Umeme tunaye Wataalamu wawili (Fundi sanifu umeme 2).

Bado tunaendelea kushauri mamlaka ya ajira na kuomba ajira ili kitengo hiki kiboreshwe kwa kuajiri Mhandisi wa Mitambo, mafundi sanifu na mafundi stadi wa magari/mitambo ili kuweza kuwa na uwezo hata wa kukagua magari kabla hayajapelekwa kwenye matengenezo na itapelekea kupunguza gharama ndani ya Halmashauri kwa kutengeneza Matengenezo madogo pia.





Matangazo

  • MACHAGUO YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • MAAGIZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 (JOINING INSTRUCTIONS) December 18, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI March 13, 2020
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO VEO III June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC KIMANTA ASISITIZA MAMBO 3 AKIWA MONDULI.

    June 26, 2020
  • MKUU WA WILAYA YA MONDULI MHE.ACP EDWARD JOTHAM BALELE APOKELEWA KWA KISHINDO MONDULI.

    June 26, 2020
  • MONDULI YAPAMBANUA JINSI ILIVYOJIPANGA KUKABILIANA NA COVID19

    April 07, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGIA NA KIDATO CHA KWANZA 2020 MONDULI

    December 09, 2019
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

WANAWAKE WANUFAIKA NA MAMILIONI YA FEDHA KUTOKA HALMASHAURI- MONDULI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli